TIMU YA TASWA FC IRINGA YAJINOA VIKALI KUIKABILIA TIMU YA BODA BODA LEO
mwalimu wa timu ya Taswa Iringa Julio Eliaza akishuhudia mazoezi makali ya timu ya waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) mkoa wa Iringa jana katika uwanja wa Kleruu Mchezo kati ya wanahabari Iringa na timu ya Boda boda ni leo katika uwanja wa samora
No comments:
Post a Comment